Kilombero/Morogoro Tanzania ifakaradiocese@gmail.com Ifakara Portal
Follow us:
Kuhusu sisi

Jimbo Ifakara

Baba Askofu katika Jimbo Katoliki Ifakara

Bishop. Salutaris Melchior Libena

Jimbo Katoliki Ifakara lilitengwa kutoka jimbo katoliki Mahenge tarehe 14 Januari 2012. Liliwekwa rasmi tarehe 19 Machi 2012. Askofu wa kwanza ni Mhashamu Salutaris M. Libena. Naibu wa Askofu ni Padre Hospitio Itatiro, Katibu Mkuu ni Padre Godfrey Hongo, Naibu Katibu Mkuu ni Padre Edwin Lyanga na Mtunza Hazina ni Sr. Patricia Mtunga.

Soma zaidi
Shuhuda

Mstari wa Moyo Siku

Misa

Misa na Mahubli

Huduma

Huduma zetu

Habari

Habari na Matukio